HESABU ZA AZAM FC KWA SASA ZIPO HIVI - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


nuru+ya+habar

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Wednesday, December 05, 2018

demo-image

HESABU ZA AZAM FC KWA SASA ZIPO HIVI

Responsive Ads Here
HABARI KUUIMG-20181112-WA0024
Uongozi wa Azam FC kupitia kwa Mratibu wake, Philip Alando umesema kuwa baada ya kumaliza kazi ya kuchukua pointi tatu kwa Stand United jana katika uwanja wa Chamazi, akili zao wanahamishia kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Mbao FC.

Stand United walifanikiwa kuanza kuifunga Azam FC kipindi cha pili dakika ya 53 kupitia kwa Hafidhi Musa na wakashindwa kulinda ushindi huo kwa kuruhusu mabao 3.

Mabao ya Azam FC yalifungwa dakika ya 66 kupitia kwa Enock Atta na bao la pili lilifungwa na Yahya Zayd kwa mkwaju wa penati kabla ya kufunga bao la tatu dakika ya 85.

Matokeo hayo yanaifanya Azam FC kufikisha pointi 36 wakiwa nafasi ya pili wakiachwa kwa pointi 2 na Yanga ambao wana pointi 38 wakiwa wamecheza wote michezo 14.

Post Bottom Ad

HABARI

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *