Younger Islander yatoka sare na Dogomoro ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


nuru+ya+habar

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Monday, January 29, 2018

demo-image

Younger Islander yatoka sare na Dogomoro ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba

Responsive Ads Here
HABARI KUU
_MG_2948
 KEPTENI wa Timu ya Younger Islander Nassor Aduni akijaribu kumdhibiti mchezaji wa timu ya Dogomoro Hamad Ali Hamad, wakati wa mchezo waligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, mchezo uliopigwa katika uwanja wa Gombani, matokeo ya mchezo huo 0-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
IMG_2941
 MCHEZAJI wa Timu ya Younger Islander Ali Seif Ali akipiga mpira mbele ya wachezaji wawili wa Timu ya Dogomoro, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, mchezo uliopigwa katika uwanja wa michezo Gombani, matokeo ya mchezo huo 0-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
_MG_2949
KEPTENI wa Timu ya Younger Islander Nassor Aduni, akimkwatua mchezaji wa timu ya Dogomoro Hamad Ali Hamad, wakati wa mchezo wa ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, Mchezo uliopigwa katika uwanja wa michezo Gombani, matokeo ya mchezo huo 0-0.

 (PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

Post Bottom Ad

HABARI

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *