WANANCHI
wa Furaha wakibeba kokoto kwa ajili ya umwagaji wa zege katika banda moja lenye
vyumba vinne vya kusomea wanafunzi, ili wananfunzi waliohamishwa katika skuli
ya Mabaoni waweze kurudi skulini kwao.(POCHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WANANCHI
wa Fura Wilaya ya Chake Chake, wakiponda zege kwa lengo al kwenda kumwaga
katika madarasa manne mpya yanayojengwa na Baraza la Mji Chake Chake, kwa ajili
ya wanafunzi wa skuli wa skuli hiyo, ambao kwa sasa wanasoma mabaoni.(POCHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
BANDA
la vyumba vinne vya kusomea wananfunzi wa skuli ya Msingi Furaha Wilaya ya
Chake Chake, likiwa katika hatua za mwisho kumalizika kwa ujenzi wake, banda
hilo linalojengwa na baraza la mji chake chake linatarajiw akugharimu Milioni
20.(POCHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WANANCHI
wa Shehia ya Furaha Wilaya ya Chake Chake, wakiweka sawa fusi ndani ya moja ya
banda la wanafunzi, ili kuweza kumwagwa kwa zege katika skuli hiyo.(POCHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MWENYEKITI
wa Baraza la Mji Chake Chake, Sadik Omar Kassim mwenye koti jeusi, akimkabidhi
mifuko 150 ya saruji Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Maafa katika skuli ya Furaha
Kassim Khamis, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na baraza la Mji
Chake Chake.(POCHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
MAFUNDI
Ujenzi katika shehia ya Furaha, wakimwaga zege na wengine kutandaza zege,
katika moja ya mabanda ya skuli ya msingi Furaha Wilaya ya Chake Chake, ikiwa
ni utekelezaji wa ahadi iliyoweka na baraza la mji chake chake la kujenga skuli
hiyo.(POCHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MWENYEKITI
wa Baraza la Mji Chake Chake, Sadik Omar Kassim mwenye koti jeusi, akibeba zege
kwenye bero kwa lengo la kumwaga katika moja ya madarasa ya skuli ya msingi
Furaha.(POCHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).