Sweden yatoa msaada wa Dola 5.76 Milioni kusaidia sekta ya elimu Zanzibar - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, March 29, 2018

Sweden yatoa msaada wa Dola 5.76 Milioni kusaidia sekta ya elimu Zanzibar

HABARI KUU

 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar kushoto akitiliana saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendekleo wa Ubalozi wa Sweden, Ulf Kallstig kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar kushoto akibadilishana hati ya saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendekleo wa Ubalozi wa Sweden Ulf Kallstig kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
 Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden Ulf Kallstig akizungumza na waandishi wa Habari baada ya kutiliana saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar akizungumza na waandishi wa Habari baada ya kutiliana saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden Ulf Kallstig kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI