Semina ya kuwasilisha utafiti na mahitajio ya soko la ajira - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, March 29, 2018

Semina ya kuwasilisha utafiti na mahitajio ya soko la ajira

 Mkurugenzi Mtendaji Mamlaka  ya Mafunzo ya Amali  Bakari Ali Silima  akifungua Semina ya kuwasilisha utafiti na mahitajio ya soko la ajira kwa ajili ya kutayarisha mitaala ya kufundisha katika vyuo vya Amali Zanzibar huko katika Ukumbi wa Mamlaka ya Amali Kilimani Mjini Zanzibar.
 Muwezeshaji wa zoezi la mitaala, Rehema Binamuungu kutoka Tanzania Bara akiwasilisha mada ya Utafiti na mahitajio ya soko la Ajira kwa ajili ya kutayarisha mitaala ya kufundisha katika vyuo vya Amali Zanzibar huko katika Ukumbi wa Mamlaka ya Amali Kilimani Mjini Zanzibar.
 Mtafiti wa Soko la Ajira kutoka Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Tanzania Bara (VETA) Julius Paul Mjelwa akizungumza katika Semina ya kuwasilisha Utafiti na Mahitajio ya Soko la Ajira kwa ajili ya kutayarisha Mitaala ya Kufundisha katika vyuo vya Amali Zanzibar huko katika Ukumbi wa Mamlaka ya Amali Kilimani Mjini Zanzibar.
 Wakufunzi wakiwa katika  Semina ya  kuwasilisha utafiti  na mahitajio ya Soko la Ajira kwa ajili kutayarisha Mitaala ya kufundisha katika Vyuo vya Amali Zanzibar huko katika Ukumbi wa Mamlaka ya Amali Kilimani Mjini Zanzibar.

Wakufunzi wakiwa katika  Semina ya  kuwasilisha utafiti  na mahitajio ya Soko la Ajira kwa ajili kutayarisha Mitaala ya kufundisha katika Vyuo vya Amali Zanzibar huko katika Ukumbi wa Mamlaka ya Amali Kilimani Mjini Zanzibar.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI