Waziri wa mambo ya Ndani ziarani Zanzibar - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, November 20, 2018

Waziri wa mambo ya Ndani ziarani Zanzibar

HABARI KUU
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola  akizungumza na Wananchi wanaohudumiwa katika Idara ya Uhamiaji Kilimani  Zanzibari wakati alipofanya ziara katika Idara hiyo.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola  akipata maelekezo kutoka kwa mtendaji wa Mmlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola  akikaguwa Gwaride maalumu la Jeshi la Polisi alipowasili Makao Makuu ya Polisi Ziwani Zanzibar.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola  akizungumza na watendaji wa Jeshi la Polisi, Uhamiaji na NIDA katika Ukumbi wa Jeshila Polisi Zanzibar.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI