MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA ZANZIBAR. - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, November 20, 2018

MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA ZANZIBAR.

HABARI KUU
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Bi. Mayasa Mahfudha akitoa hotuba kuhusiana na Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini mjini Unguja ambapo ujumbe wa Mwaka huu ni "Takwimu Rasmi zenye ubora wa hali yajuu katika kuhakikisha Uwazi,Utawala bora na maendeleo jumuishi".
Mgeni Rasmi Katibu Mtendaji Tume ya Mipango.Ndg. Juma Hassan Juma akitoa hotuba ya Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini mjini Unguja ambapo ujumbe wa Mwaka huu ni "Takwimu Rasmi zenye ubora wa hali yajuu katika kuhakikisha Uwazi,Utawala bora na maendeleo jumuishi"
 Mwenyekiti wa Bodi ya Takwimu Dkt,Said Gharib Bilali akitoa neno la Shukrani katika Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini mjini Unguja ambapo ujumbe wa Mwaka huu ni "Takwimu Rasmi zenye ubora wa hali yajuu katika kuhakikisha Uwazi,Utawala bora na maendeleo jumuishi.
Baadhi ya Wageni Waalikwa waliohudhuria katika Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini mjini Unguja ambapo ujumbe wa Mwaka huu ni "Takwimu Rasmi zenye ubora wa hali yajuu katika kuhakikisha Uwazi,Utawala bora na maendeleo jumuishi"

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI