Uzinduzi wa Tovuti ya maktaba kisiwani Pemba - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


nuru+ya+habar

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Wednesday, October 10, 2018

demo-image

Uzinduzi wa Tovuti ya maktaba kisiwani Pemba

Responsive Ads Here
HABARI KUU
IMG_4907
 Khamis Juma Khamis akizindua tovuti ya maktaba www.zls.go.tz, wakati wa kongamano la uzinduzi huo, kwa lengo la kuwafanya watumiaji wa huduma za maktaba kuweza kutafuta vitu mbali mbali kupitia mtandao huo(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
IMG_4927
 Khamis Juma Khamisi akiwaonyesha washiriki wa kongamano na uzinduzi wa Tovuti ya maktaba, jinsi mtandao wa maktaba unavyoweza kufanya kazi zake kwa kupata vitu mbali mbali vya kujisomea(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
IMG_5023
AFISA Mdhamini Wizara ya elimu na mafunzo ya amali Pemba Mohammed Nassor Salim, akizungumza katika uzinduzi wa tovuti ya maktaba na kongamano lake lililofanyika katika ukumbi wa maktaba kuu ya Pemba(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

Post Bottom Ad

HABARI

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *