Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wanawake wa Mother Cycle. Watowa Mafanikio Kwa Wanawake wa Shehia za Zanzibar. - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, April 09, 2018

Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wanawake wa Mother Cycle. Watowa Mafanikio Kwa Wanawake wa Shehia za Zanzibar.

HABARI KUU


Mratibu wa Mradi wa Mother Cycle Bi. Aisha Ali Karume akitowa maelezo wa Mradi huo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wanawake wa Nyumbani, na kukabidhiwa Vyeti na Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zanzibar Bi. Nasma Chum, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya ZAYEDESA Mazizini Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Women Without Border ya Austria (WWB) Dr.Edit Schlaffer, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi Vyeti kwa washiriki wa mafunzo hayo yaliowashirikisha Kinamama kutoka Sheria mbalimbali za Unguja na kusema Wanawake ni walimu wazuri kwenye familia kwanu hufanya maamuzi yao mazuri katika familia yake, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya ZAYEDESA mazizini Zanzibar. 

Katibu wa Taasisi ya ZAYEDESA Zanzibar Bi. Lucy Majaliwa akizungumza wakati wa hafla hiyo ya ufungaji wa mafunzo ya Wanawake kuwajengea uwezo katika familia na jamii iliotolewa kupitia Mradi wa Mother Cycle, na kuwashirikisha Wanawake 60 kutoka shehia za Unguja.
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Wanawake na Watoto Zanzibar, Bi. Nasima Chum, akitowa nasaha zake wakati wa kuyafunga mafunzo huo ya Wanawake kuwajengea Uwezo katika familia na jamii wanapokuwa majumbani, yaliotolewa na kupitia Mradi wa Mather Cycle chini ya Jumuiya ya ZAYEDESA kwa kushirikiana na WWB, ya Nchini Austria.








Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI