Wananchi kijiji cha Kele Mtambwe, Wete wakosa huduma ya maji safi na salama - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, February 18, 2018

Wananchi kijiji cha Kele Mtambwe, Wete wakosa huduma ya maji safi na salama

HABARI KUU

 Wananchi wakiwa Kisimani huko katika Kijiji cha Kele Mtambwe  Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakichota maji na kufua kufuatia kukosekana kwa huduma ya maji safi na Salama Kijijini hapo.
 Wananchi wakiwa Kisimani huko katika Kijiji cha Kele Mtambwe  Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakichota maji na kufua kufuatia kukosekana kwa huduma ya maji safi na Salama Kijijini hapo.

 Madumu ya kuchotea maji , yakiwa katika msogo wa kusubiria maji yatoke katika mfereji huo.

Kisima ambacho kimechimwa na Wananchi wa kijiji cha Kele Mtambwe Wete,ambacho kimekwama kutumika kwa ukosefu wa baadhi ya nyenzo kama vile Umeme .

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI