Ugawaji wa kamusi kwa vyombo vya habari Pemba - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, February 14, 2018

Ugawaji wa kamusi kwa vyombo vya habari Pemba

HABARI KUU

KAIMU Mratibu wa ZBC Pemba Abdalla Abeid, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja, hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MWENYEKITI wa PPC,  Said Mohamed Ali, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja, hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MKUU wa Idara ya Habari Melezo, Pemba Marzouk Khamis Sharif, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja (kushoto), hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MWAKILISHI wa ITV/Redio one Pemba Suleiman Rashid Omar, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja (kushoto), hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MWAKILISHI wa Sauti ya Istiqama  Pemba, Salum Ali Msellem, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja (kushoto), hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MKUU wa Idara ya Mkumbusho na Mambo ya kale Pemba, Khamis Ali, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja, (kushoto) hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

MDHAMINI Kamisheni ya utalii Pemba, Jamal Salami Salum, akipokea kamusi za Kiswahili sanifu, kutoka kwa Afisa Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja, hafla iliofanyika ukumbi wa wizara hiyo, mjini Chakechake Pemba

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI