Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Ahudhuria Ibada ya Jumatano ya Majivu Kanisa la St.Joseph Jijini Dar es Salaam leo. - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, February 14, 2018

Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Ahudhuria Ibada ya Jumatano ya Majivu Kanisa la St.Joseph Jijini Dar es Salaam leo.

HABARI KUU
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipakwa majivu pajini,wakati wa  ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo Februari 14, 2018.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  akisalimiana na  Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam  baada ya  kujiunga na  waumini wengine katika ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo

 Mama Janeth Magufuli akisalimiana na  Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam  baada ya  kujiunga na  waumini wengine katika ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  na mkewe Mama Janeth Magufuli  wakiagana na  waumini wenzao baada ya ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  akisindikizwa  na  Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam  na Padri Venance Tegete baada ya  kujiunga baada ya  ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo Februari 14, 2018.
 Picha na Ikulu.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI