RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume Zanzibar akitokea Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu
UAE, akivishwa shada la maua na Mtoto aliyeandaliwa.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar akitokea Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu UAE,
akivishwa shada la maua na Mtoto aliyeandaliwa. MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akivishwa shada la maua na
mtoto aliyeandaliwa wakati wa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
Zanzibar, akitokea katika ziara yake ya wiki moja katika Nchi za Umoja
wa Nchi za Falme za Kiarabu RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
na Mke Mama Mwanamwema Shein, wakisalimiana na Viongozi wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume wakitokea katika ziara ya Kiserikali katika Nchi za
UAE RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
na Mke Mama Mwanamwema Shein, wakisalimiana na Viongozi wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume wakitokea katika ziara ya Kiserikali katika Nchi za
UAE RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama,baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Wazee wa CCM alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume baada ya kumaliza ziaya yake katika Nche
za Falme za Kiarabu UAERAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko
Zanzibar baada ya kuwasili Zanzibar katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kushoto Mama Mwanamwema, Shein na Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. WAANDISHI
wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar wakiwa na Baadhi ya Mawaziri
waliofuatana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein, wakifuatilia Mkutano huo na waandi katika chumba
cha VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Waandishi wa Vyombo vya Habari mbalimbali vilioko
Zanzibar akizungumzia mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Umoja wa
Nchi za Falme za Kiarabu, baada ya kuwasili Zanzibar. RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Waandishi wa Vyombo vya Habari mbalimbali vilioko
Zanzibar akizungumzia mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Umoja wa
Nchi za Falme za Kiarabu, baada ya kuwasili Zanzibar. RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mhe.Ayoub Mohammed
Mahmoud, baada ya kuzungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali
vya Zanzibar. RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
baada ya kumaliza mazungumzo na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali
vilioko Zanzibar mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Falme za
Kiarabu UAE.
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionSully akiwa katika chumba ulimokuwa mwili wa marehemu George HW Bush katika makao makuu ya Bunge la Marekani
Mbwa aliyekuwa amepewa kazi ya kuwa msaidizi wa rais wa zamani wa Marekani George HW Bush amepigwa picha akionekana kuomboleza karibu na jeneza la kiongozi huyo.
Bw Bush, aliyehudumu kama rais wa 41 wa Marekani kati ya mwaka 1989 na 1993 alifariki dunia Ijumaa usiku akiwa na miaka 94.
Sully, mbwa wa jamii ya golden labrador, alisafiri pamoja na mwili wa marehemu kwenye ndege kutoka Texas kwenda Washington DC siku ya Jumatatu.
Jeneza lenye mwili wake lilisafirishwa kwa ndege kutoka Texas kwenda DC kwa ndege ya Air Force One - ambayo kwa muda ilipewa jina Special Air Mission 41, kwa heshima ya rais huyo.
Mwili huo ulirejeshwa Texas Jumatano.
Haki miliki ya pichaOFFICE OF GEORGE HW BUSHImage captionPicha ya kwanza ya Mbwa Sully akiwa amelala karibu na jeneza lenye mwili wa George HW Bush iliyowagusa wengi
Mbwa huyo wa jina Sully alisindikiza jeneza hilo muda wote.
Picha ya kwanza kabisa ya Sully akitoa heshima zake ilipakiwa mtandaoni na msemaji wa Bw Bush Jim McGrath, pamoja na ujumbe: "Mission complete."
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionSully alisafiri na Air Force One iliyoubeba mwili wa marehemu kwenda Washington Jumatatu
Watu katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakimshukuru Sully kwa huduma zake, na kwa kawaida kuzungumzia uaminifu wa mbwa kwa wamiliki wao.
Haki miliki ya pichaAFP/GETTYImage captionAlirejea vivyo hivyo Texas Jumatano
KARIBU WA FIKIE WATEJA WAKO KWA KUTANGAZA NASI. HAPA 0777 178 520 ,0623 964 800, 0676 612 602 KAR. Powered by Blogger.
MASHABIKI RUKSA AZAM FC v PYRAMIDS FC KESHO
-
KUELEKEA mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa
Uwanja wa AzM Complex kati ya Azam FC v Pyramids ya Misri mashabiki ruksa
kuutazam...
HABARI KUU Kwanza nipende kumshukuru sana Lavan Island yeye ndio chachu ya mada hii...nilikuwa sina ufahamu wa kutosha kuhu...
Comments
QUEEN DARLEEN' AMEKUJA NA MEPYA KUHUSU WASAFI FESTIVAL
Msanii wa muziki Tanzania kutokea lebo ya WCB Queen Darleen amefunguka kwa kudai kwamba mtu ambae anauchukia ujio wa Wasafi festival ni mnyonyaji kwani anataka aendelee kutawala yeye kwenye biashara hiyoo.
kwa habari na matokio ni othu tv
HABARI KUU
sherehe
othu tv tunawakilisha
facebook
www.facebook.com
Step 3: Place this code wherever you want the plugin to appear on your page.