Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Azindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Geita leo. - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, April 02, 2018

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Azindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Geita leo.

HABARI KUU
 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, akikabidhiwa Mwenge wa Uhuru baada ya kuuasha katika viwanja vya Magogo Geita , akikabidhiwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Charles Kabeho.kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu. Mhe Jenista Mhagama.    

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiwasha Mwenge wa Uhuru katika viwanja vya Magogo Geita, wakati wa uzinduzi wa mbio za Mwenge Tanzania,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu. Mhe Jenista Mhagama. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI