AFCON 2018: Fainali ya soka la ufukweni kuanza Desemba 8 mwaka huu - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


nuru+ya+habar

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Thursday, December 06, 2018

demo-image

AFCON 2018: Fainali ya soka la ufukweni kuanza Desemba 8 mwaka huu

Responsive Ads Here
beaqch
Michuano ya fainali ya soka la ufukweni inatarajiwa kuanza Disemba 8 hadi 14 mwaka huu katika mji wa Sharm El Sheikh nchini Misri.Timu ya taifa ya soka la ufukweni ya Tanzania, imetua salama nchini humo baada ya kuondoka jana alfajiri kwenda nchini humo kuiwakilisha Tanzania baada ya kuibuka kidedea katika michuano ya Copa Dar es salaam yaliyomalizika hivi karibuni nchini Tanzania.
Kundi A lina timu za Misri, Morocco, Ivory Coast na Madagascar wakati kundi B lina timu toka Tanzania, mabingwa watetezi Senegal, Nigeria na Libya.
Tanzania itafungua dimba siku ya jumamosi kwa kukutana na Libya, kabla ya kumenyana na Senegal jumapili na kumalizia na Nigeria siku ya jumatatu.

Post Bottom Ad

HABARI

undefined

Contact Form

Name

Email *

Message *