Kombe la Shirikisho barani Afrika: Mtibwa kuanza kupeperusha bendera ya Tanzania - NURU YA HABARI TZ

KWA HABARI ZA UHAKIKA ZA KITAIFA NA KIMATAIFA


HABARI MPYA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, November 27, 2018

Kombe la Shirikisho barani Afrika: Mtibwa kuanza kupeperusha bendera ya Tanzania

Kombe la Shirikisho barani Afrika: Mtibwa kuanza kupeperusha bendera ya Tanzania Kikosi cha Mtibwa Sugar, leo kitakuwa uwanjani kupeperusha bendera ya Tanzania katika mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya Northern Dynamos ya Shelisheli utakaochezwa uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam. Kocha mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema ana imani na kikosi chake licha ya kutokuwa na wachezaji wa kigeni kutokana na mafunzo ambayo amewapa. Tanzania inawakilishwa na timu mbili kimataifa ambapo kwenye kombe la Shirikisho ni Mtibwa na kwa upande wa kombe la mabingwa la Afrika ni Simba ambao watacheza na Mbabane Swallows FC kutoka Swaziland kesho.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

HABARI